Baadhi ya samani zilizotolewa na Wazanzibari wanaoishi Seattle nchini Marekani kama msaada kwa wananchi wa Zanzibar kusaidia upungufu wa madawati kwenye Skuli za Sekondari. Waliofaidika na msaada huo ni wanafunzi wa Skuli za Sekondari wa Lumumba na Tumekuja kwa Unguja na Fidel Castro na Madungu kwa Pemba.
Related News and Events
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Zanzibar Maisha Bora Foundation na mke wa Rais wa Zanzibar mama Maryam Mwinyi akifungua mkutano wa mashirikiano kati ya Asasi za Zanzibar na Marekani amesema ushirikiano
- Aug 13, 2022
- 91 Views
President Mwinyi wants list of investors in Zanzibar
- Dec 17, 2020
- 172 Views
ZANZIBAR SEES ECONOMIC OPPORTUNITIES IN EAST AFRICAN REGIONAL BLOCK
- May 26, 2020
- 170 Views
JUMUIA YA AHAS GROUPS YATOA VIFAA VYA SKULI NA HOSPITALI UNGUJA.
- Apr 10, 2019
- 160 Views
ZACADIA YATOA MSAADA WA VITABU KWA TAASISI ZA ELIMU ZANZIBAR
- Aug 06, 2018
- 160 Views
AHAS GROUP Wachangia Kuimarisha Sekta Ya Elimu Zanzibar
- Jan 25, 2018
- 149 Views
Mkutano wa wanadiaspora na idara ua uhamiaji zanzibar
- Nov 30, 2017
- 159 Views
OR NA MBLM ZANZIBAR YAFANYA KIKAO NA IDARA YA UHAMIAJI ZANZIBAR
- Nov 30, 2017
- 156 Views
Naibu Waziri wa Afya wa SMZ Bi Mwanaharusi Said Suleiman
- Nov 17, 2017
- 155 Views
WAJASIRIAMALI PEMBA WAPIGWA MSASA KATIKA KUELEKEA SOKO LA PAMOJA LA AFRIKA MASHARIKI.
- Mar 16, 2017
- 150 Views