Latest News and Resources

Mkuu wa Wilaya ya mjini ndugu Marina Joel Thomas akisoma hotuba ya ufunguzi wa semina ya kutoa elimu ya Mtengamano wa jumuia ya Afrika Mashariki na Diaspora kwa Masheha wa Wilaya Mjini iliyofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari Kikwajuni.
Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora Ndg Adila Vuai Hilal pamoja na Uwongozi wa PBZ wakiwapokea Ma Daktari Ma Diaspora