Mke wa Rais wa Zanzibar mama Maryam Mwinyi ameuhakikishia umoja wa Asasi za kiraia za Marekani kuwa zipo tayari kushirikiana na Asasi za kigeni kwa lengo la kuisaidia Serikali na kuwaletea maendeleo
- Aug 13, 2022
- 107 Views
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Zanzibar Maisha Bora Foundation na mke wa Rais wa Zanzibar mama Maryam Mwinyi ameuhakikishia umoja wa Asasi za kiraia za Marekani kuwa zipo tayari...