Events
Jul
2016
MASHEHA WILAYA YA MJINI WAPATIWA ELIMU JUU KUWEPO KITENGO CHA DIASPORA ZANZIBAR
Masheha katika Wilaya ya Mjini wametakiwa kuwa na utaratibu mzuri utakaohakikisha kwamba wanashirikiana vizuri na Wanadiaspora yaani wazanzibari wanaoishi nje ya nchi wakati wanapofika katika maeneo yao kwa lengo la kuratibu shughuli za utoaji wa misaada katika jamii zao. Read More
Jul
2016
semina ya diaspora kwa masheha wa Wilaya ya Mjini Zanzibar.
Picha ya pamoja iliyopigwa na washiriki wa semina ya Diaspora. Kutoka kushoto ni Sheha wa Shehia ya Mchangani ndugu Nassir Ali, Mkurugenzi wa Diaspora nd. Adila Hilal Vuai, Mgeni rasmi aliyefungua semina hiyo Marine Joel Thomas na Suleiman Muhsin Afisa wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Read More
Oct
2014
ZIARA YA MAFUNZO NCHINI INDIA
Katibu Mkuu Wizara ya Diaspora nchini India Ndugu Shri. Prem Narain (Wa pili kutoka kushoto) katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Zanzibar Ndugu Salum Maulid Salum (Wa Pili kutoka kulia) pamoja na watendaji wake katika picha ya pamoja ya kuagana… Read More
Oct
2014
ZIARA YA MAFUNZO NCHINI INDIA
Katibu Mkuu Wizara ya Diaspora nchini India Ndugu Shri. Prem Narain (Wa pili kutoka kushoto) katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Zanzibar Ndugu Salum Maulid Salum wakibadilishana mawazo kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Wizara zao katika Wizara… Read More
Mar
2013
The Zanzibar-Canadian Diaspora Agency in Action in Scarborough, Toronto!
The Zanzibar-Canadian Diaspora Agency (ZACADIA) had a meeting on march 16, 2013, in Scarborough with Zanzibaris living in the East end. The meeting was held at the University of Toronto, Scarborough Campus, Toronto. Read More